MAZOEZI YA IMANI

MAZOEZI YA IMANI
MAZOEZI YA IMANI,SOTE TUSHIRIKI KATIKA MAZOEZI YA SALA

Friday, May 27, 2011

Karibu katika tovuti ya kanisa Anglikana Dayosisi ya Ruvuma

Picha hapa ni Askofu wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Ruvuma mshamu Dk.Maternus Kapinga akiwa katika moja ya shughuli za kichungaji katika kanisa la Mateka mjini Songea mara baada ya kutoa kipaimara kwa wanafunzi wa shule ya msingi Mateka wakiwa pamoja na wazazi wao wote wakiwa na sura za furaha

Hapa Askofu Maternus Kapinga akitoa kipaimara kwa mmoja wa wanafunzi mjini Songea,wanaonekana kwa pembeni ni wasaidizi wake ambao kwa pamoja wakishiriki katika huduma ya kiroho.